Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_059da1fecdafe7519324e13bc4e1d15b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_059da1fecdafe7519324e13bc4e1d15b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_059da1fecdafe7519324e13bc4e1d15b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_059da1fecdafe7519324e13bc4e1d15b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
โ˜ฐ
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_059da1fecdafe7519324e13bc4e1d15b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Featured Image
Kurani inamtaja mwanamke mmoja tu, tena mara 34: ni Mariamu, mama wa nabii Isa. Akichanganywa na dada wa Haruni na Musa, aliyekuwa na jina hilohilo, anatajwa kama binti Imrani. Pia habari nyingine kadhaa zinapishana na zile za Injili.
Hata hivyo anapewa heshima ya pekee, kama inavyoonekana katika sura ya 3:43: โ€œNa kumbukeni malaika waliposema, โ€˜Ewe Mariamu, kwa hakika Mwenyezi Mungu amekuchagua na kukutakasa na kukutukuza kuliko wanawake wa walimwenguโ€. Tena katika aya 3:46: โ€œNa kumbukeni waliposema malaika: โ€˜Ewe Mariamu, bila shaka Mwenyezi Mungu anakupa habari njema za Neno litokalo kwake, jina lake Masihi Isa mwana wa Mariamu, mwenye heshima katika dunia na ahera, na yu miongoni mwa waliokaribishwaโ€™โ€.
Aliambiwa amefanywa โ€œisharaโ€ pamoja na mwanae, ingawa haisemwi ni ishara ya nini. Sura ya 19, yenye jina lake, inaeleza kwamba Malaika Jibrili (Gabrieli) akimpasha habari ya mimba alisema, โ€˜Hakika mimi ni mjumbe wa Mola wako ili nikupe mwana mtakatifuโ€™. Akasema, โ€˜Ninawezaje kupata mtoto hali hajanigusa mwanamume yeyote, wala mimi si mwasherati?โ€™ Akasema, โ€˜Ni kama hivyo; Mola wako amesema: Haya ni rahisi kwangu, na ili tukufanya ishara kwa mwanadamu na rehema itokayo kwetu, na ni jambo lililokwisha hukumiwaโ€™ โ€ (19:19-21). โ€œNa mwanamke yule aliyejilinda tupu yake na tukampulizia roho yetu na tukamfanya yeye na mwanawe ishara kwa walimwenguโ€ (21:91).
Pamoja na kusifiwa kwa usafi wake, anaongezewa sifa za imani na unyenyekevu: โ€œNa Mariamu binti Imrani aliyejilinda uchi wake, na tukampulizia humo Roho yetu na kayasadikisha maneno ya Mola wake, na vitabu vyake; na alikuwa miongoni mwa wanyenyekevuโ€ (66:12).
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_059da1fecdafe7519324e13bc4e1d15b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Mallya (Guest) on June 7, 2024

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Michael Mboya (Guest) on May 21, 2024

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mary Njeri (Guest) on April 7, 2024

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Sarah Achieng (Guest) on February 16, 2024

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Elizabeth Malima (Guest) on December 31, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Josephine Nduta (Guest) on December 31, 2023

Mwamini Bwana; anajua njia

Alice Jebet (Guest) on December 10, 2023

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

David Musyoka (Guest) on August 27, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Alice Wanjiru (Guest) on March 13, 2023

Imani inaweza kusogeza milima

Mary Kendi (Guest) on January 13, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Joseph Kitine (Guest) on December 25, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Anna Kibwana (Guest) on December 7, 2022

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Grace Wairimu (Guest) on October 23, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Victor Kamau (Guest) on October 15, 2022

Dumu katika Bwana.

Joyce Mussa (Guest) on October 12, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Esther Cheruiyot (Guest) on May 31, 2022

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Agnes Njeri (Guest) on May 31, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Susan Wangari (Guest) on May 24, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

Betty Cheruiyot (Guest) on July 20, 2021

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Brian Karanja (Guest) on June 30, 2021

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Alex Nakitare (Guest) on May 26, 2021

Nakuombea ๐Ÿ™

Ann Wambui (Guest) on April 3, 2021

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Elijah Mutua (Guest) on December 20, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Richard Mulwa (Guest) on November 26, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lucy Mushi (Guest) on October 9, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Sarah Karani (Guest) on September 24, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Samuel Omondi (Guest) on April 30, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Peter Mugendi (Guest) on December 15, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Lucy Mahiga (Guest) on August 1, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Joseph Kawawa (Guest) on July 29, 2019

Sifa kwa Bwana!

Susan Wangari (Guest) on July 9, 2019

Mungu akubariki!

Susan Wangari (Guest) on February 18, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Anna Kibwana (Guest) on February 5, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Elijah Mutua (Guest) on January 22, 2019

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Michael Mboya (Guest) on October 12, 2018

Endelea kuwa na imani!

Peter Mwambui (Guest) on August 23, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Nancy Kawawa (Guest) on May 7, 2018

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Jacob Kiplangat (Guest) on April 9, 2018

Rehema hushinda hukumu

David Sokoine (Guest) on November 15, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Lucy Wangui (Guest) on July 19, 2017

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

David Sokoine (Guest) on February 23, 2017

Rehema zake hudumu milele

Stephen Amollo (Guest) on January 9, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Benjamin Masanja (Guest) on December 28, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Stephen Malecela (Guest) on October 13, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Daniel Obura (Guest) on June 23, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Agnes Njeri (Guest) on March 23, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Faith Kariuki (Guest) on February 17, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Anna Sumari (Guest) on December 20, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Patrick Akech (Guest) on November 27, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Andrew Mchome (Guest) on October 2, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Related Posts

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Kama Mkristo, tunaamini kuwa huruma ya M... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Yesu Kristo?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Yesu Kristo?

Habari za leo kwa wapenzi wa Yesu Kristo? Leo nitapenda kuzungumzia kuhusu imani ya Kanisa Katoli... Read More

Ni nini maana ya Ekaristi Takatifu katika imani ya Kanisa Katoliki?

Ni nini maana ya Ekaristi Takatifu katika imani ya Kanisa Katoliki?

Ekaristi Takatifu ni moja ya Sakramenti muhimu katika imani ya Kanisa Katoliki. Sakramenti hii hu... Read More

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha Upatanisho kama sakramenti ya msamaha wa dhambi?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha Upatanisho kama sakramenti ya msamaha wa dhambi?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha Upatanisho kama sakramenti ya msamaha wa dhambi? Jib... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu ngono na maadili ya kijinsia?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu ngono na maadili ya kijinsia?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu makubwa duniani, na imani yake juu ya ngono na maadili ya ki... Read More

Jifunze kitu Kwenye mfano huu kuhusu Maombi na kuomba

Jifunze kitu Kwenye mfano huu kuhusu Maombi na kuomba

Nabii mmoja aliumwa
na Jino, lilimtesa sanaโ€ฆ
Akapiga magoti kumlilia
Mungu ili a... Read More

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa familia na ndoa katika maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa familia na ndoa katika maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa familia na ndoa katika maisha ya Kikristo... Read More

Ushauri wangu kwa leo, ni Heri kuchagua kunyamaza

Ushauri wangu kwa leo, ni Heri kuchagua kunyamaza

MITHALI 11:12 Asiye na akili humdharau mwenziwe; Bali mtu aliye na ufahamu hunyamaza.

MITHA... Read More

MALAIKA WA MUNGU

MALAIKA WA MUNGU

Read More
Kukusanya Hekima Kutoka kwa Masomo ya Misa ya Dominika: Jinsi ya Kufanya

Kukusanya Hekima Kutoka kwa Masomo ya Misa ya Dominika: Jinsi ya Kufanya

Kukusanya Hekima Kutoka kwa Masomo ya Misa ya Dominika: Jinsi ya Kufanya

Kumekuwa na destu... Read More

Mafundisho (Dogma) ya Kanisa Katoliki kuhusu Bikira Maria

Mafundisho (Dogma) ya Kanisa Katoliki kuhusu Bikira Maria

Read More
Je, Kanisa Katoliki linamwamini Yesu Kristo kuwa mwenyezi na wa milele katika Ekaristi?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Yesu Kristo kuwa mwenyezi na wa milele katika Ekaristi?

Leo tutazungumzia kuhusu imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Ekaristi. Je, Kanisa Katoliki linamwamin... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_059da1fecdafe7519324e13bc4e1d15b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
๐Ÿ“˜ About ๐Ÿ”’ Login ๐Ÿ“ Register ๐Ÿ“ž Contact