Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fad1ad544f0ea944b4302088d64b6f83, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaokusihi, tufurahie hali njema ya hewa na mvua tunayoitamani na kuhitaji. Tutumie daima vipawa vya wema wako kwa ajili ya utukufu wa jina lako, na kwa ajili ya wokovu watu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana watu Yesu Kristo Mwanao, anayeishi na kutawala nawe katika umoja wa Roho Mtakatifu, Mungu, daima na milele. Amina. `
`Baba Yetu................... Salama Maria............ Atukuzwe Baba........... `
K: `Bikra Maria mama wa msaada wa daima.... W: Utuombee na Utusaidie`
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fad1ad544f0ea944b4302088d64b6f83, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na...
Read More
Mungu wangu,
nakupenda zaidi ya cho chote,
kwani ndiwe mwema,
ndiwe mwenye kupe...
Read More
Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ...
Read More
Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar...
Read More
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA
BABA YETU…………â...
Read More
Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate...
Read More
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria...
Read More
Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal...
Read More
Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ...
Read More
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
Kwa jina la Baba…..
Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu.
Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M...
Read More
Anna Sumari (Guest) on July 1, 2024
Mungu akubariki!
Martin Otieno (Guest) on June 21, 2024
ðŸ™â¤ï¸ Mungu ni mwaminifu
Christopher Oloo (Guest) on May 15, 2024
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Sharon Kibiru (Guest) on May 11, 2024
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Lydia Mutheu (Guest) on May 5, 2024
ðŸ™ðŸŒŸâ¤ï¸ Nakuombea heri
Brian Karanja (Guest) on April 27, 2024
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Bernard Oduor (Guest) on March 17, 2024
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Samuel Omondi (Guest) on February 24, 2024
ðŸ™â¤ï¸âœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Betty Akinyi (Guest) on February 17, 2024
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Grace Mushi (Guest) on December 21, 2023
ðŸ™ðŸ’–💫 Mungu ni mwema
Joseph Kawawa (Guest) on December 3, 2023
ðŸ™ðŸ’– Nakushukuru Mungu
Moses Kipkemboi (Guest) on June 29, 2023
ðŸ™âœ¨â¤ï¸ Neema za Mungu zikufunike
Robert Ndunguru (Guest) on April 29, 2023
Endelea kuwa na imani!
John Mushi (Guest) on April 20, 2023
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Alex Nyamweya (Guest) on March 29, 2023
ðŸ™ðŸŒŸ Mungu alete amani
Anna Mahiga (Guest) on August 21, 2022
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Janet Sumaye (Guest) on August 15, 2022
Katika imani, yote yanawezekana
Anna Kibwana (Guest) on July 7, 2022
ðŸ™â¤ï¸ðŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai
Elizabeth Mrema (Guest) on June 22, 2022
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Samson Tibaijuka (Guest) on January 7, 2022
ðŸ™ðŸ’–🙠Mungu akufunike na upendo
Alice Mrema (Guest) on January 3, 2022
Nakuombea ðŸ™
Stephen Mushi (Guest) on October 19, 2021
ðŸ™ðŸŒŸ Mbarikiwe sana
Moses Kipkemboi (Guest) on September 29, 2021
Mwamini Bwana; anajua njia
Janet Mwikali (Guest) on April 13, 2021
ðŸ™ðŸ™ðŸ™
Miriam Mchome (Guest) on December 30, 2020
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Esther Nyambura (Guest) on December 21, 2020
ðŸ™âœ¨ðŸ’– Mungu atajibu maombi yako
Thomas Mtaki (Guest) on December 10, 2020
ðŸ™â¤ï¸ Mungu ni mkombozi
Patrick Akech (Guest) on December 10, 2020
Imani inaweza kusogeza milima
Grace Mushi (Guest) on October 23, 2020
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Grace Majaliwa (Guest) on July 13, 2020
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Nancy Akumu (Guest) on July 2, 2020
Dumu katika Bwana.
Stephen Malecela (Guest) on February 17, 2020
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Anna Mchome (Guest) on February 1, 2020
ðŸ™ðŸŒŸ Neema za Mungu zisikose
Nancy Kabura (Guest) on January 29, 2020
Tumaini ni nanga ya roho
Richard Mulwa (Guest) on November 26, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Alice Jebet (Guest) on November 23, 2019
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Agnes Sumaye (Guest) on September 12, 2019
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Carol Nyakio (Guest) on August 31, 2019
ðŸ™ðŸ’– Nakusihi Mungu
Fredrick Mutiso (Guest) on August 22, 2019
Neema ya Mungu inatosha kwako
Raphael Okoth (Guest) on August 9, 2019
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Robert Okello (Guest) on July 19, 2019
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Agnes Njeri (Guest) on May 4, 2019
ðŸ™ðŸ’– Asante kwa neema zako Mungu
Diana Mallya (Guest) on April 6, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Michael Onyango (Guest) on February 6, 2019
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Ruth Mtangi (Guest) on January 9, 2019
ðŸ™ðŸ’–✨ Neema yako ni ya kutosha
Edwin Ndambuki (Guest) on January 2, 2019
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
James Mduma (Guest) on December 8, 2018
Rehema hushinda hukumu
Catherine Naliaka (Guest) on August 22, 2018
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Grace Njuguna (Guest) on July 25, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Esther Nyambura (Guest) on May 7, 2018
ðŸ™âœ¨ Mungu atakuinua
Mary Mrope (Guest) on April 30, 2018
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Simon Kiprono (Guest) on April 21, 2018
ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote
Christopher Oloo (Guest) on February 11, 2018
Sifa kwa Bwana!
Elijah Mutua (Guest) on January 23, 2018
ðŸ™âœ¨â¤ï¸ Tumwombe Mungu kila siku
Victor Kimario (Guest) on January 21, 2018
Neema na amani iwe nawe.
Benjamin Masanja (Guest) on January 4, 2018
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Ann Wambui (Guest) on December 6, 2017
ðŸ™ðŸŒŸ Mungu akujalie amani
Irene Akoth (Guest) on December 4, 2017
ðŸ™â¤ï¸ Mungu ni mlinzi wetu
Carol Nyakio (Guest) on November 16, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Dorothy Majaliwa (Guest) on October 25, 2017
Mwamini katika mpango wake.