Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c3b28cab655cf4ed5cfa789d9f77546c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c3b28cab655cf4ed5cfa789d9f77546c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c3b28cab655cf4ed5cfa789d9f77546c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c3b28cab655cf4ed5cfa789d9f77546c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c3b28cab655cf4ed5cfa789d9f77546c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".

Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?

Jamaa: NDIYO.

Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.

Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?

Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.

Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"

Jamaa: NDIYO.

Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?

Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!

Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.

*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.

WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c3b28cab655cf4ed5cfa789d9f77546c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Mwikali (Guest) on November 12, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on November 7, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Salima (Guest) on October 10, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Ruth Mtangi (Guest) on October 3, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on October 2, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

George Tenga (Guest) on September 13, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on September 4, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Betty Cheruiyot (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on August 24, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Samson Mahiga (Guest) on August 20, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on August 2, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on July 25, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on July 24, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on July 5, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on June 26, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Mutua (Guest) on June 25, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Warda (Guest) on June 18, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Aoko (Guest) on June 15, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on June 9, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on May 20, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on May 14, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Mwikali (Guest) on May 5, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Kawawa (Guest) on April 27, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mhina (Guest) on April 26, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Charles Mrope (Guest) on April 25, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mwakisu (Guest) on April 13, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Irene Akoth (Guest) on April 10, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on April 7, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on March 21, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Francis Mtangi (Guest) on March 19, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Mrema (Guest) on February 22, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on February 3, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lydia Mahiga (Guest) on January 11, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jackson Makori (Guest) on December 26, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nora Kidata (Guest) on December 24, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Kitine (Guest) on December 19, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on December 18, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Halimah (Guest) on December 10, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Benjamin Masanja (Guest) on November 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Stephen Kikwete (Guest) on October 26, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on October 23, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on August 2, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sultan (Guest) on July 30, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Peter Mwambui (Guest) on July 26, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joyce Aoko (Guest) on June 17, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Thomas Mtaki (Guest) on June 13, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on May 31, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on April 10, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 28, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on March 16, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nyota (Guest) on February 17, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kidata (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Elizabeth Mtei (Guest) on February 9, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on February 1, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on January 21, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Paul Ndomba (Guest) on January 1, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lydia Mutheu (Guest) on December 21, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Margaret Mahiga (Guest) on December 19, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on December 15, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Related Posts

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c3b28cab655cf4ed5cfa789d9f77546c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3