Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9b7pst8tvgia00vr11g7ktusbh, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE
Date: January 1, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubwa sana ulipotazama mateso na kifo cha Mwana wako mpenzi. Muda ule uliweza kutuliz kidogo kwa sababu ya kumwona angali hai. Lakini je, baada ya kufa na kumzika? Sasa wewe ni mkiwa mkubwa mno! Uh, ukiwa wa pekee, uniombee mimi ninayempoteza mara nyingi kwa dhambi zangu. Unijalie nisimpoteze tena Yesu wangu kwa ubaya wa uvivu wangu, bali nimtumikie kiaminifu duniani hapa ili nimwone na kumfurahia milele mbinguni. Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9b7pst8tvgia00vr11g7ktusbh, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ...
Read More
(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za...
Read More
Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush...
Read More
1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More
Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.
Kusali nov...
Read More
Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,
na kwa njia ya Damu yako azizi,
na kwa maombezi ya M...
Read More
Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More
Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w...
Read More
Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut...
Read More
Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y...
Read More
Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto...
Read More
MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9b7pst8tvgia00vr11g7ktusbh, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line
3
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line
3
Rose Amukowa (Guest) on November 19, 2017
🙏🌟❤️ Nakuombea heri
Dorothy Nkya (Guest) on November 16, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
David Chacha (Guest) on November 4, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
David Nyerere (Guest) on October 7, 2017
🙏❤️ Mungu ni mkombozi
Charles Wafula (Guest) on October 7, 2017
🙏❤️ Mungu ni mwaminifu
Tabitha Okumu (Guest) on September 24, 2017
🙏✨ Mungu asikie maombi yetu
Edith Cherotich (Guest) on September 2, 2017
Amina
Lydia Mahiga (Guest) on August 26, 2017
🙏✨ Mungu atupe nguvu
George Mallya (Guest) on August 5, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Vincent Mwangangi (Guest) on May 10, 2017
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Elijah Mutua (Guest) on May 1, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
Ruth Wanjiku (Guest) on March 29, 2017
Mwamini katika mpango wake.
Elizabeth Mrema (Guest) on March 22, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Monica Adhiambo (Guest) on March 6, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
Frank Sokoine (Guest) on March 5, 2017
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Linda Karimi (Guest) on December 13, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Nora Lowassa (Guest) on December 7, 2016
🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote
Brian Karanja (Guest) on September 16, 2016
🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka
Charles Wafula (Guest) on July 19, 2016
🙏💖 Asante kwa neema zako Mungu
Lucy Kimotho (Guest) on May 31, 2016
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Moses Mwita (Guest) on January 25, 2016
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Peter Tibaijuka (Guest) on August 18, 2015
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Anna Mahiga (Guest) on April 6, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi