Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_561a366b5967d63b2c349b202eb599f4, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Sala ya Saa Tisa
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
βββ
Sala ya saa tisaππΎ
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. A mina
Yesu, ulikufa, lakini chanzo cha uhai kilitoka kwa ajili ya watu, na bahari ya huruma ilifunguka kwa ajili ya ulimwengu mzima. Ee chemchemi ya Uhai, huruma ya Mungu isiyo na mwisho, ikafunika ulimwengu mzima na ukajimwaga mwenyewe juu yetu.
β£ββ£
βEe Damu na Maji, yaliyotoka moyoni mwa Yesu kama chemchemi ya Huruma kwetu. Nakutumainia.
(Mara tatu)
πβ£π
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5a0da3ade18dd1143e4d695b6c11939a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa...
Read More
Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A...
Read More
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)
Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ...
Read More
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima
(Tumia rosari ya kawaida...
Read More
Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo...
Read More
Enyi Yesu na Maria na Yosefu,
nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.
Enyi Yesu na M...
Read More
Read More
Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu...
Read More
Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate...
Read More
Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh...
Read More
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.
SALA YA KUSHUKURU
Tunakus...
Read More
Anna Malela (Guest) on September 29, 2017
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Brian Karanja (Guest) on August 7, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
John Malisa (Guest) on July 11, 2017
Rehema hushinda hukumu
Lucy Mushi (Guest) on March 14, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
Lucy Kimotho (Guest) on February 15, 2017
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
John Lissu (Guest) on January 17, 2017
πππ
Andrew Odhiambo (Guest) on December 20, 2016
Baraka kwako na familia yako.
Carol Nyakio (Guest) on December 18, 2016
Amina
Christopher Oloo (Guest) on September 29, 2016
Sifa kwa Bwana!
Thomas Mtaki (Guest) on September 20, 2016
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Monica Adhiambo (Guest) on September 3, 2016
Imani inaweza kusogeza milima
Charles Mboje (Guest) on August 12, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Henry Mollel (Guest) on April 28, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Janet Wambura (Guest) on April 26, 2016
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Wilson Ombati (Guest) on April 14, 2016
ππ Mungu akujalie amani
John Mushi (Guest) on October 10, 2015
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Thomas Mtaki (Guest) on September 2, 2015
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Charles Mrope (Guest) on August 25, 2015
ππ Mungu wetu asifiwe
Anna Mchome (Guest) on August 9, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
Stephen Mushi (Guest) on June 8, 2015
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Dorothy Majaliwa (Guest) on June 7, 2015
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Wilson Ombati (Guest) on May 29, 2015
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Peter Mugendi (Guest) on May 28, 2015
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia