Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4066ce8ac62e0c42c6daf7128fe80ff2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4066ce8ac62e0c42c6daf7128fe80ff2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4066ce8ac62e0c42c6daf7128fe80ff2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4066ce8ac62e0c42c6daf7128fe80ff2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4066ce8ac62e0c42c6daf7128fe80ff2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Featured Image

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani nikatamani fursana nikaingia kijisupermarket mara sindo nakutana na ex wangu! Mshenzi yule kaniona mimi sijui alikua na mpango wa kununua vocha ya jero eti kabadili kanunua vocha ya buku tano ilimradi nione maisha yake safi tangu tuachane. Mambo ya kijinga spendi kudadeky nimetoa buku kumi nikanunua mipampers nami nijifanye nimeowa nina mtoto halafu huyoo nikashika njia yangu.

Sasa washkaji zangu tafadhalini mwenye mtoto au shida ya pampers naomba anunue kwangu maana leo nalala tena kiza 🙆‍♂

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4066ce8ac62e0c42c6daf7128fe80ff2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Alice Wanjiru (Guest) on October 26, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Alice Mrema (Guest) on October 17, 2019

😄 Kali sana!

Nora Lowassa (Guest) on October 4, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆

Kenneth Murithi (Guest) on September 28, 2019

😅😊😂👏

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 14, 2019

😆 Kali sana!

Ann Wambui (Guest) on September 1, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! 😊😂

Joyce Aoko (Guest) on August 29, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🤣🤣

Jackson Makori (Guest) on July 28, 2019

🤣🔥😊

Stephen Malecela (Guest) on July 27, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣

Thomas Mtaki (Guest) on July 24, 2019

Hii imenibamba sana! 😅🤣

Makame (Guest) on July 22, 2019

😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mtumwa (Guest) on July 2, 2019

🤣 Kichekesho bora kabisa!

Mary Sokoine (Guest) on June 13, 2019

😆😂👏

Samuel Omondi (Guest) on March 31, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂

Shani (Guest) on March 29, 2019

😆 Nacheka hadi chini!

Victor Kamau (Guest) on February 4, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! 😆😂

Robert Okello (Guest) on January 31, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🤣

Ruth Kibona (Guest) on January 4, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆

Janet Mbithe (Guest) on December 12, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! 😆😂

Emily Chepngeno (Guest) on November 15, 2018

😊😂😅👏

Samson Tibaijuka (Guest) on November 11, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! 😄😂

Lydia Wanyama (Guest) on October 25, 2018

Hii imenifurahisha sana! 😂😂

Vincent Mwangangi (Guest) on October 13, 2018

Hii imenifurahisha kweli! 😆😂

Sharon Kibiru (Guest) on October 1, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊

Elijah Mutua (Guest) on September 27, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅

Victor Kimario (Guest) on September 17, 2018

😂🤣😊😅

Hamida (Guest) on September 17, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! 💰

Wilson Ombati (Guest) on September 3, 2018

😄 Umeshinda mtandao leo!

Mariam Hassan (Guest) on June 29, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄

Mwajuma (Guest) on June 10, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Esther Nyambura (Guest) on June 8, 2018

Hii ni ya maana sana! 😂👌

John Kamande (Guest) on June 3, 2018

😅😂👌😊

Sarah Achieng (Guest) on May 13, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mahiga (Guest) on May 3, 2018

😆😂😊

Mary Sokoine (Guest) on March 30, 2018

😂 Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Edward Lowassa (Guest) on March 20, 2018

Huyu alikuwa na point! 😂👌

Rose Waithera (Guest) on March 16, 2018

Mna talent ya jokes! 👏😂

Charles Mboje (Guest) on March 9, 2018

😂😆

Alex Nyamweya (Guest) on March 8, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂

Esther Nyambura (Guest) on March 3, 2018

😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Rose Mwinuka (Guest) on February 24, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅

Mary Mrope (Guest) on February 18, 2018

😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mariam Hassan (Guest) on February 4, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! 👏😆

Elizabeth Mrema (Guest) on February 2, 2018

🤣🤣👏😆

Benjamin Kibicho (Guest) on December 26, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! 😆👌

Stephen Mushi (Guest) on December 20, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! 😅

Issa (Guest) on December 18, 2017

😂 Nitaiiba hii bila shaka!

David Chacha (Guest) on December 10, 2017

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Samuel Omondi (Guest) on November 15, 2017

Hii ni bomba sana! 🤣👍

Christopher Oloo (Guest) on October 14, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆

Sarah Mbise (Guest) on October 11, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! 😅😂

Agnes Sumaye (Guest) on October 4, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! 😊😂

George Tenga (Guest) on September 28, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄

Majid (Guest) on September 18, 2017

😆 Ninakufa hapa!

Frank Sokoine (Guest) on September 17, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🤣🤣

Mwanaidha (Guest) on September 5, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆

Janet Sumaye (Guest) on August 27, 2017

🤣😆😊😂

James Malima (Guest) on August 20, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂

George Wanjala (Guest) on July 28, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! 😆😂

Jackson Makori (Guest) on July 7, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏😂

Related Posts

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4066ce8ac62e0c42c6daf7128fe80ff2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact