Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fd7262b6fb228a33198a6bc1abeea464, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fd7262b6fb228a33198a6bc1abeea464, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fd7262b6fb228a33198a6bc1abeea464, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fd7262b6fb228a33198a6bc1abeea464, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fd7262b6fb228a33198a6bc1abeea464, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fd7262b6fb228a33198a6bc1abeea464, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Paul Ndomba (Guest) on April 28, 2018

🤣 Ujuzi wa hali ya juu!

Margaret Mahiga (Guest) on April 7, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅

Aziza (Guest) on March 22, 2018

😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!

Kahina (Guest) on March 14, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! 😆

Agnes Lowassa (Guest) on March 13, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! 😂ðŸ‘

Fredrick Mutiso (Guest) on March 7, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆

Patrick Mutua (Guest) on March 1, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! ðŸ‘😂

Lucy Mushi (Guest) on February 22, 2018

😆ðŸ‘😂😄

Anna Mchome (Guest) on February 10, 2018

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Kijakazi (Guest) on February 3, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆

Nancy Kabura (Guest) on January 21, 2018

Hii imenichekesha sana! 😄😂

Hellen Nduta (Guest) on January 13, 2018

😆😂😊

Miriam Mchome (Guest) on January 4, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Francis Mtangi (Guest) on January 4, 2018

😠Hii ni dhahabu!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 28, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ðŸ‘😆

Sharon Kibiru (Guest) on December 18, 2017

Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌

Sarah Mbise (Guest) on December 9, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! ðŸ˜

Mary Kidata (Guest) on December 9, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! 😆😊

Patrick Akech (Guest) on October 26, 2017

😆 Naihifadhi hii!

Baridi (Guest) on October 9, 2017

Asante Ackyshine

Zulekha (Guest) on August 1, 2017

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Njoroge (Guest) on July 26, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 15, 2017

Hii imenibamba sana! 😂😅

Zuhura (Guest) on July 2, 2017

😠Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

James Malima (Guest) on June 29, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂

Grace Mligo (Guest) on June 23, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! ðŸ‘😆

Miriam Mchome (Guest) on June 17, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ðŸ‘🤣

Mjaka (Guest) on June 6, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉

Stephen Kangethe (Guest) on May 31, 2017

Hii imenifurahisha kweli! 😆😂

Alex Nyamweya (Guest) on May 24, 2017

😃 Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Grace Majaliwa (Guest) on May 23, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! 😄

Mariam (Guest) on April 7, 2017

😂 Nitaiiba hii bila shaka!

Margaret Mahiga (Guest) on March 18, 2017

😄 Dhahabu ya vichekesho!

Joseph Kawawa (Guest) on March 14, 2017

🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 4, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Michael Onyango (Guest) on February 15, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! 😂

Peter Mbise (Guest) on February 10, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! ðŸ†

Esther Nyambura (Guest) on January 16, 2017

Napenda jokes zenu! 😊😅

Michael Mboya (Guest) on January 12, 2017

Hii imenifurahisha sana! 😊😅

Diana Mumbua (Guest) on November 17, 2016

😊😂🤣

John Malisa (Guest) on October 28, 2016

Mna talent ya jokes! ðŸ‘😂

Hawa (Guest) on October 7, 2016

😂 Nimeipenda kabisa hii!

Paul Kamau (Guest) on September 28, 2016

😅😊😂ðŸ‘

Zakia (Guest) on September 28, 2016

😆 Hiyo punchline!

Dorothy Nkya (Guest) on September 25, 2016

😅 Nilihitaji hii!

George Tenga (Guest) on September 11, 2016

🤣 Ninaituma sasa hivi!

Jane Muthoni (Guest) on September 6, 2016

😊😂😅ðŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on August 23, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! 😆ðŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on August 17, 2016

😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!

Alice Wanjiru (Guest) on July 31, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆

Daniel Obura (Guest) on July 31, 2016

🤣😆😊😂

Ali (Guest) on July 19, 2016

😆 Nacheka hadi chini sasa hivi!

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 12, 2016

😂🤣😊😅

Charles Mrope (Guest) on June 21, 2016

ðŸ‘🤣😆😂

Grace Majaliwa (Guest) on June 20, 2016

😄 Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Kevin Maina (Guest) on June 2, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂

Fredrick Mutiso (Guest) on June 2, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😊😂

Joseph Mallya (Guest) on April 9, 2016

Hii ni ya maana sana! 😂👌

Ruth Wanjiku (Guest) on April 9, 2016

😂🤣😆ðŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on March 13, 2016

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;- kwa nini umechelewa kazini
Juma;- kuna mtu njiani alidondo... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news 💥

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu 👧 girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu 👧 girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? ðŸ“👉ðŸ½ðŸ... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fd7262b6fb228a33198a6bc1abeea464, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3