Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f9beddd9d1548f543f9f765fa0024ddf, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f9beddd9d1548f543f9f765fa0024ddf, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f9beddd9d1548f543f9f765fa0024ddf, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f9beddd9d1548f543f9f765fa0024ddf, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f9beddd9d1548f543f9f765fa0024ddf, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa
pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama
{confess}
"Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya
dhambi kubwa sana."
Padri, "Endelea…"





"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake, akaniambia
amegundua nimeiba shilingi millioni 100 kazini. Akasema
nisipozitoa atanipeleka polisi, sa kwa ukweli mi naogopa
kufungwa.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu,nikatoa bastola nikamuua….. Yesu atanisamehe?"





Padri: "Utasamehewa."
"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango
unafunguliwa kutazama, Loh! Mke wa bosi, alipoona
kilichotokea akasema anapiga polisi simu.
Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua na yeye pia… Yesu atanisamehe hilo?"
Padri: "Utasamehewa."





Nikatoka nje, nikawasha gari niondoke, lakini mlinzi
akakataa kunifungulia, ati amesikia mlio wa
bastola. Nikaona ataniletea kizuizi huyu.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe?"
Padri:"Utasamehewa."





"Nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda
nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi
akabisha hodi, nikawaza mambo gani tena, akasema alirudi
nyumbani na kukuta yaliyotokea akanionesha diary ya
babake, inayoonesha nilikuwa na appointment naye
wakati nilipomuua. Nikamuuliza nani mwingine anayejua?
Akasema ameanzia kwangu kisha anaenda polisi.





Nikatazama huku na huku nikakuta tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe na hilo?"





Kimyaa….
"Padri yesu atanisamehe?"
kimya….





Jamaa akatazama kwenye confession booth padri
hayupo, lakini kwenye kona moja akaona kabati la nguo
za mapadri linatikisika. Kufungua akaona padri kajificha ndani anatetemeka huku akitokwa na jasho.





Jamaa, "Sasa baba mbona umekimbia?"
Padri kwa taabu akajibu, "Nilitazama huku na huku
nikagundua tuko wawili peke yetu……."


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f9beddd9d1548f543f9f765fa0024ddf, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jane Muthui (Guest) on April 29, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Mahiga (Guest) on April 18, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Khamis (Guest) on April 17, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Lucy Mahiga (Guest) on March 7, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on February 7, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on February 7, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Rabia (Guest) on January 30, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Maida (Guest) on January 27, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Maida (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Jamila (Guest) on December 20, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ann Awino (Guest) on November 25, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on November 11, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Akinyi (Guest) on September 27, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on September 25, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on September 14, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Baraka (Guest) on September 8, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Edith Cherotich (Guest) on September 7, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on September 3, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on August 22, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on August 7, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joseph Njoroge (Guest) on July 23, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Josephine Nduta (Guest) on July 6, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nancy Kawawa (Guest) on June 6, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on June 5, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on May 31, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

James Kawawa (Guest) on May 25, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on May 19, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nassar (Guest) on May 13, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

George Tenga (Guest) on May 12, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on May 12, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on March 19, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on March 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on February 7, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Frank Macha (Guest) on December 22, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Abubakari (Guest) on December 21, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 20, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on November 26, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on November 16, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Kazija (Guest) on November 4, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 1, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Warda (Guest) on September 6, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

George Tenga (Guest) on August 23, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Lydia Mahiga (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Richard Mulwa (Guest) on August 7, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Husna (Guest) on July 10, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Peter Mwambui (Guest) on June 26, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Samson Tibaijuka (Guest) on June 23, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Grace Mushi (Guest) on June 18, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mgeni (Guest) on June 10, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Elizabeth Mrema (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on May 22, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Robert Okello (Guest) on May 6, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Kikwete (Guest) on April 25, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

David Kawawa (Guest) on April 25, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Kevin Maina (Guest) on April 20, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 15, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f9beddd9d1548f543f9f765fa0024ddf, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact