Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_ca52db570e3c32e70013b83dc9c19418, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_ca52db570e3c32e70013b83dc9c19418, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_ca52db570e3c32e70013b83dc9c19418, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_ca52db570e3c32e70013b83dc9c19418, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_ca52db570e3c32e70013b83dc9c19418, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Meseji ya kumtumia mpenzi wako aliyeko mbali na wewe

Featured Image

sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbali
nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza
kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi.

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_ca52db570e3c32e70013b83dc9c19418, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Patrick Mutua (Guest) on October 7, 2015

Kama ningekuwa na nafasi ya kuchagua maisha yangu tena, ningechagua maisha haya haya, lakini safari hii ningekutafuta mapema. Wewe ni sababu ya kila kitu kizuri maishani mwangu πŸ’«πŸ’ž.

George Tenga (Guest) on August 21, 2015

πŸ’–πŸŒΉβ€οΈ Unanifanya nitabasamu

Rose Lowassa (Guest) on August 15, 2015

πŸ˜πŸ’–β€οΈ

Victor Malima (Guest) on August 6, 2015

Wewe ni mwangaza unaoniongoza katika giza la dunia. Nakushukuru kwa kunipa sababu ya kuamini katika ndoto zetu, na najua kuwa tutazitimiza zote pamoja πŸ’«πŸŒ.

Mary Mrope (Guest) on July 23, 2015

Wewe ni msukumo wa ndoto zangu zote, na kila hatua ninayochukua ni kwa ajili ya kukufikia. Nakupenda kwa namna isiyo na kikomo, na sitaki maisha yangu bila ya kuwa nawe πŸšΆβ€β™‚οΈβ€οΈ.

Zakia (Guest) on July 17, 2015

Nakutazama naona maisha yaliyojaa furaha na amani. Wewe ni zawadi ya kipekee ambayo siwezi kueleza jinsi ilivyo ya thamani, lakini najua kuwa sitawahi kuacha kuithamini 🎁😊.

John Lissu (Guest) on July 13, 2015

Nakupenda zaidi ya vile ulimwengu ulivyo na nyota. Kila moja ya nyota hizo inaashiria kumbukumbu nzuri tulizonazo, na najua kuwa tutaendelea kuunda nyingine nyingi zaidi. Kila nyota ni ishara ya upendo wetu wa milele, na sitaki kuacha kuunda nyota mpya pamoja nawe βœ¨πŸ’«. Nakupenda kwa namna isiyoelezeka, na natamani kuwa nawe kila sekunde ya maisha yangu πŸŒŒπŸ’–.

Esther Nyambura (Guest) on June 6, 2015

Nakupenda kwa dhati, na kila siku ninayoishi ni kwa ajili ya kukufanya uhisi furaha. Wewe ni sababu ya kila kitu kizuri maishani mwangu, na naahidi kukutunza daima πŸ₯°πŸ’.

Charles Mrope (Guest) on May 20, 2015

πŸ˜πŸ’•β€οΈ Nakupenda bila kipimo

Charles Mchome (Guest) on May 14, 2015

Wewe ni mwangaza unaoniongoza katika giza la dunia. Nakushukuru kwa kunipa sababu ya kuamini katika ndoto zetu, na najua kuwa tutazitimiza zote pamoja πŸ’«πŸŒ. Kila ndoto ninayokuwa nayo inahusiana nawe, na najua kuwa tutafurahia maisha ya pamoja kwa furaha na upendo. Nakupenda kwa namna isiyoelezeka, na sitaki kuacha kamwe kuwa nawe πŸ’–πŸ’«.

Monica Lissu (Guest) on May 9, 2015

πŸ’•πŸ’“πŸ˜ Penzi lako ni tamu

Majid (Guest) on May 3, 2015

Kila wimbi la bahari linaashiria hisia zangu kwako, lina nguvu, lina kina, na haliwezi kuzuilika. Nakupenda kwa dhati, na hakuna kitu kinachoweza kuzuia upendo huu πŸŒŠπŸ’“. Wewe ni kila kitu kinachonifanya nihisi hai, na sitaki kamwe kuacha kukupenda. Kila hisia zangu kwako ni kama mawimbi yanayokuja na nguvu mpya kila siku πŸ’–πŸŒŠ.

Anna Sumari (Guest) on April 28, 2015

Unaponiambia unavyonipenda, moyo wangu hupiga kwa nguvu ya ajabu, kama vile upepo wa baharini unavyovuma kwa nguvu na upole. Katika sauti yako, nasikia mawimbi ya bahari ya upendo ambayo yananipeleka kwenye pwani ya amani isiyo na mwisho. Wewe ni kimbilio langu la furaha, mahali ambapo naweza kuweka mzigo wote wa dunia na kujua kuwa niko salama mikononi mwako πŸ₯°πŸŒŠ. Nakutazama naona kila kitu kinachonifanya nihisi amani na upendo. Wewe ni zaidi ya mpenzi; wewe ni mshirika wa roho yangu, sababu ya tabasamu langu kila siku πŸ˜˜πŸ’–.

Peter Tibaijuka (Guest) on April 16, 2015

πŸ’“πŸ’‹πŸ˜

Related Posts

Meseji nzuri ya kumwambia mpenzi wako kuwa wewe ndiye unayempenda wa kwanza

Meseji nzuri ya kumwambia mpenzi wako kuwa wewe ndiye unayempenda wa kwanza

β™₯Watu wanao pendana daima hukumbukana!!! Na salamu
kusalimiana!!! Afya njema k... Read More

SMS nzuri ya mapenzi ya kimahaba ya kutuma kwa mpenzi wako umpendaye

SMS nzuri ya mapenzi ya kimahaba ya kutuma kwa mpenzi wako umpendaye

Fikra hutaw... Read More

Meseji ya kumtumia mpenzi wako wakati unaenda kwake

Meseji ya kumtumia mpenzi wako wakati unaenda kwake

nipe niridhike,nionjeshe usinilambishe,nikigonga
nikaribishe na penzi le2Β 2list... Read More

SMS nzuri ya kumuuliza mpenzi wako kama anakupenda kweli kwa moyo wake wote

SMS nzuri ya kumuuliza mpenzi wako kama anakupenda kweli kwa moyo wake wote

Mapenzi mazuri yanasifa zifuatazo, kuridhishana, kupeana
bila kubaniana, kubusia... Read More

Ujumbe wa kimahaba wa kumtumia mpenzi wako aliyeko mbali na wewe kumwambia unavyommisi

Ujumbe wa kimahaba wa kumtumia mpenzi wako aliyeko mbali na wewe kumwambia unavyommisi

Mawingu yametanda napanda kwenye kitanda, macho nayaangaza, taratibu navut... Read More

SMS nzuri ya kumuomba mtu muwe wapenzi

SMS nzuri ya kumuomba mtu muwe wapenzi

Ama baada ya salamu, mimi ni mzima wa afya njema. Mie ni ndege nipo angan... Read More

SMS ya mapenzi ya mahaba kwa mpenzi wako aliyeko mbali

SMS ya mapenzi ya mahaba kwa mpenzi wako aliyeko mbali

Kuna bahari kati yetu. Misitu na milima inatutenganisha,
mimi si β€˜Supamani’ ... Read More

SMS nzuri ya kumtumia umpendaye kumwambia unavyompenda na kumridhia

SMS nzuri ya kumtumia umpendaye kumwambia unavyompenda na kumridhia

Siku zote kwangu ni sherehe ni wewe unishereheshaye,ukweli
usio na kejeli mapenz... Read More

Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa umezama kwake

Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa umezama kwake

tazama, nimezama
ndani ya bahari
la penzi lako
siwezi
kusonga mbe... Read More

Ujumbe wa kumtumia mpenzi wako wakati anahuzuni kumwambia kuwa uko kwa ajili yake

Ujumbe wa kumtumia mpenzi wako wakati anahuzuni kumwambia kuwa uko kwa ajili yake

Nitafute wakati una huzuni, nitafute wakati hamna wa
kukusikiliza. Sijali kama mimi ni kimbi... Read More

SMS kali ya kimahaba ya kumtumia mpenzi wako kumwambia alivyokuteka moyo na akili zako

SMS kali ya kimahaba ya kumtumia mpenzi wako kumwambia alivyokuteka moyo na akili zako

Mpenzi wangu kukutana nawe ilikuwa ni bahati, kukuchagua kuwa rafiki yangu ilikuwa ni... Read More

Ujumbe wa kuasa kuhusu upendo wa kweli

Ujumbe wa kuasa kuhusu upendo wa kweli

Rafiki wa kweli hudhaminiwa kama familia
Pendo la kweli humaanisha, kupenda kwel... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_ca52db570e3c32e70013b83dc9c19418, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact