Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8958a60039ce2f5ce8807605fa1a785e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8958a60039ce2f5ce8807605fa1a785e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8958a60039ce2f5ce8807605fa1a785e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8958a60039ce2f5ce8807605fa1a785e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8958a60039ce2f5ce8807605fa1a785e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8958a60039ce2f5ce8807605fa1a785e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Edward Chepkoech (Guest) on July 11, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆

Guest (Guest) on May 28, 2026

vichekesho vya mapenzi

Guest (Guest) on May 23, 2026

Daah tucheke tuongez xik za kuish

Guest (Guest) on May 30, 2026

Daa

Guest (Guest) on May 23, 2026

Daah tucheke tuongez xik za kuish

Guest (Guest) on June 2, 2026

Sawa

Guest (Guest) on May 23, 2026

Daah tucheke tuongez xik za kuish

Guest (Guest) on May 24, 2026

Mamb vp

Guest (Guest) on May 26, 2026

A

Guest (Guest) on May 26, 2026

A

Guest (Guest) on April 13, 2026

0669

Guest (Guest) on May 2, 2026

Eeh

Guest (Guest) on April 28, 2026

Mh hawa wamezid

Guest (Guest) on May 10, 2026

HAPANA

Guest (Guest) on May 5, 2026

Dozeee

Guest (Guest) on April 9, 2026

J

Guest (Guest) on March 12, 2026

Uwakika

Guest (Guest) on April 15, 2026

Nakubar

Guest (Guest) on March 4, 2026

Vunja mbavu za madenge

D2 (User) on March 12, 2026

Unazihitaji?

Guest (Guest) on March 30, 2026

MON

Ann Wambui (Guest) on July 7, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🤣🤣

Guest (Guest) on May 23, 2026

Angalia majiran wasikushangae mwanet

David Chacha (Guest) on July 2, 2024

😄😅👏😂

Guest (Guest) on March 19, 2026

Cheka

Agnes Lowassa (Guest) on July 1, 2024

😆 Naihifadhi hii!

Sarah Achieng (Guest) on July 1, 2024

Nimecheka hadi machozi 🤣😭

Guest (Guest) on April 11, 2026

Hata mavi 2 utoe hy ni juu yako

Guest (Guest) on June 7, 2026

Duuh

Peter Mwambui (Guest) on June 22, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂

Daudi (Guest) on May 21, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nora Lowassa (Guest) on May 9, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😅

Arifa (Guest) on April 15, 2024

😆 Siwezi kuacha kucheka!

Guest (Guest) on April 11, 2026

Weeh kali

Anna Mchome (Guest) on April 9, 2024

😆😂👏

Elizabeth Mtei (Guest) on April 5, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mwafirika (Guest) on March 12, 2024

🤣 Hii imenigonga vizuri!

George Ndungu (Guest) on February 24, 2024

Hii ni joke ya maana sana! 😂👌

Yahya (Guest) on January 14, 2024

😄 Kichekesho gani!

George Ndungu (Guest) on December 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄

Lucy Mushi (Guest) on November 16, 2023

Nimefurahia sana hii joke! 😅😂

Monica Adhiambo (Guest) on November 5, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! 😊😆

Joyce Nkya (Guest) on October 31, 2023

🤣🤣😂

Kahina (Guest) on October 21, 2023

😆 Bado nacheka!

Margaret Mahiga (Guest) on October 7, 2023

😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Charles Mboje (Guest) on September 25, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🤣

Shani (Guest) on September 22, 2023

😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Moses Kipkemboi (Guest) on August 22, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂

Dorothy Nkya (Guest) on July 29, 2023

😂 Kali sana!

Josephine Nekesa (Guest) on June 6, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! 🤣😂

Mercy Atieno (Guest) on June 3, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Simon Kiprono (Guest) on May 23, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆

Joseph Kitine (Guest) on May 16, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😆😂

Raphael Okoth (Guest) on March 21, 2023

🤣😄😊

Stephen Amollo (Guest) on March 14, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 😂🤣

Samson Tibaijuka (Guest) on March 12, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Arifa (Guest) on February 2, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! 😄

John Kamande (Guest) on January 19, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! 😊👏

Agnes Lowassa (Guest) on December 21, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅

Nora Lowassa (Guest) on December 5, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! 😂

Related Posts

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

👧: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

👨: "poa, na wewe acha ... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8958a60039ce2f5ce8807605fa1a785e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3