Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_70e4658fe4e6eaece9bdcb528038c3ac, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Jinsi ya Kupika skonzi
Date: December 24, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mahitaji
Unga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 1/2 kijiko cha chakula)
Chumvi (salt 1/2 kijiko cha chai)
Hamira (yeast 1/2 kijiko cha chakula)
Baking powder 1/2 kijiko cha chai
Siagi (butter 1/4 ya kikombe cha chai)
Maziwa (fresh milk 3/4 ya kikombe cha chai)(unaweza kutumia maji badala ya maziwa)
Matayarisho
Pasha maziwa yawe ya uvuguvugu kisha weka pembeni, pia yeyusha siagi na uweke pembeni.Baada ya hapo tia kila kitu kwenye bakuli la kukandia kasoro maziwa, na uchanganye vizuri kisha tia maziwa kidogo kidogo katika mchanganyiko huo kisha ukande. Ukimaliza uweke kwenye sehemu ya joto na uache uumuke. Ukisha umuka utawanyishe katika madonge saba Kisha .pakaza mafuta au siagi katika chombo cha kuokea kisha yapange hayo madonge katika hicho chombo na uyaache yaumuke tena (kwa mara ya pili). Baada ya hapo pakaza mafuta juu ya hayo madonge na uyaoke (bake) katika oven (moto 200Β°C ) kwa muda wa dakika 25 na hapo scones au maskonzi yatakuwa tayari
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_70e4658fe4e6eaece9bdcb528038c3ac, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mahitaji
Ndizi laini (Matoke 6)
Viazi mbatata (potato 3)
Samaki wabichi wa wast...
Read More
Vyakula vya Kutayarishwa Mapema kwa Afya Vinavyofaa kwa Usiku wa Juma
ππ₯
Usik...
Read More
Mahitaji
Bilinganya 2 za wastani
Nyanya kubwa 1
Kitunguu maji 1 kikubwa
Sw...
Read More
Mahitaji
Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 3/4 ya kikombe...
Read More
Mahitaji
Mayai yaliochemshwa 4
Nyama ya kusaga robo kilo
Kitunguu swaum
Ta...
Read More
Mahitaji
Bamia (okra) 20
Nyanya chungu (garden eggs) 5
Magadi soda (Bicabonate ...
Read More
Mahitaji
Ndizi tamu (plantain) 3-4
Tui la nazi (coconut milk) kikombe 1 cha chai
Read More
Β· Osha mikono yako kwa sabuni kabla na baada
ya kutayarisha chakula
Β· Tumia vyombo sa...
Read More
Yai bichi linaweza kuwa na vijidudu viitwavyo kwa kitaalamu βSALMONELLAβ vinavyoweza kusababi...
Read More
Viambaupishi
- Mchele (Basmati) - 3 vikombe
- Mbogamboga za barafu (karot, njege...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga 300gm
Siagi 225gm
Icing Sugar 60gm
Chokoleti iliyokoz...
Read More
Mahitaji
Salmon fillet 2
Potatao wedge kiasi
Lettice kiasi
Cherry tomatoRead More
ALLY (Guest) on March 8, 2024
NASHUKURU KWA MAARIFA UNAYOYATOA.
NAOMBA UNISAIDIE MCHANGANUO WA KUTENGENEZA SKONZI KWA KILO 25KG