Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_695b83bad48f235a84ecced8729161cc, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Jinsi ya Kupika skonzi
Date: December 24, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mahitaji
Unga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 1/2 kijiko cha chakula)
Chumvi (salt 1/2 kijiko cha chai)
Hamira (yeast 1/2 kijiko cha chakula)
Baking powder 1/2 kijiko cha chai
Siagi (butter 1/4 ya kikombe cha chai)
Maziwa (fresh milk 3/4 ya kikombe cha chai)(unaweza kutumia maji badala ya maziwa)
Matayarisho
Pasha maziwa yawe ya uvuguvugu kisha weka pembeni, pia yeyusha siagi na uweke pembeni.Baada ya hapo tia kila kitu kwenye bakuli la kukandia kasoro maziwa, na uchanganye vizuri kisha tia maziwa kidogo kidogo katika mchanganyiko huo kisha ukande. Ukimaliza uweke kwenye sehemu ya joto na uache uumuke. Ukisha umuka utawanyishe katika madonge saba Kisha .pakaza mafuta au siagi katika chombo cha kuokea kisha yapange hayo madonge katika hicho chombo na uyaache yaumuke tena (kwa mara ya pili). Baada ya hapo pakaza mafuta juu ya hayo madonge na uyaoke (bake) katika oven (moto 200°C ) kwa muda wa dakika 25 na hapo scones au maskonzi yatakuwa tayari
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_695b83bad48f235a84ecced8729161cc, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Vipimo - Ugali
Maji - 4 vikombe kiasi inategemea na unga wenyewe.
Unga wa sembe - 2...
Read More
Mahitaji
Ndizi tamu (plantain) 3-4
Tui la nazi (coconut milk) kikombe 1 cha chai
Read More
Mahitaji
Mayai yaliochemshwa 4
Nyama ya kusaga robo kilo
Kitunguu swaum
Ta...
Read More
Mawazo ya Chakula cha Mchana cha Dakika 20 kwa Siku zenye Shughuli Nyingi
Leo, nataka kuzu...
Read More
Vipimo
Wali:
Mchele - 3 Vikombe
Kitunguu kiichokatwa - 1
Pilipili bog...
Read More
Vipimo
Wali:
Mchele mpunga - 4 Vikombe
Tui la nazi - 6 vikombe
Chumvi...
Read More
Vipimo
Mchele 3 vikombe
Mboga mchanganyiko 1 kikombe
Samaki wa Pink Salmon 5 ...
Read More
Mahitaji
Unga wa ngano (nusu kilo)
Sukari (Kikombe 1 cha chai)
Chumvi (nusu kij...
Read More
Vipimo
Mchele wa basmati/pishori - 4 vikombe vikubwa (mugs)
Kuku - 2
Vitnguu ...
Read More
Mahitaji
Mchele (rice 1/2 kilo)
Maharage yaliyochemshwa (boiled red kidney beans 1 k...
Read More
Soda ni kiburudisho ambacho si muhimu sana kwa afya.
Aina nyingi za soda zina kafeini ambay...
Read More
Mahitaji
Ndizi mshale 10
Utumbo wa ng'ombe 1/2 kilo
Nazi ya kopo 1
Nyanya ...
Read More
ALLY (Guest) on March 8, 2024
NASHUKURU KWA MAARIFA UNAYOYATOA.
NAOMBA UNISAIDIE MCHANGANUO WA KUTENGENEZA SKONZI KWA KILO 25KG