Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f72a5b533036f6b42d5c4bea337e78fa, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Je, kuna madhara gani yatokanayo na uvutaji sigara kwa vijana hasa kijana Albino?
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Kuna madhara mengi ambayo hutokana na uvutaji sigara.
Madhara mengi yanampata mvutaji kwani moshi unaingia
kwenye mapafu na kuendelea kuleta madhara mengine sehemu
nyingine za mwili.
Unaweza pia kupata madhara kwa kukaa karibu na mtu
anayevuta (hii inaitwa mvutaji baki). Uvutaji unafanya mwili
wako kunyonya sumu ijulikanayo kama nikotini. Nikotini ndio
chanzo kikubwa cha matatizo yatokanayo na uvutaji.
Uvutaji sigara unahusishwa na magonjwa mengi. Kiungo cha
mwili kinachoathirika kwanza ni mapafu. Uvutaji husababisha
kukohoakohoa, vichomi na kulipuka kwa kifua kikuu (TB) na
hatimaye saratani ya mapafu. Uvutaji pia unaathiri ngozi.
Ngozi ya mvutaji inakuwa nyepesi kwani inaathiri mishipa ya
damu iliyopo karibu chini ya ngozi. Hali hii inaifanya ngozi
kushindwa kujitengeneza upya (regenerate). Kwa vile Albino
tayari wana matatizo ya ngozi ni vizuri kama hawatavuta na
kwa wale wanaovuta basi waache kuvuta.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f72a5b533036f6b42d5c4bea337e78fa, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu ukuaji wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wa...
Read More
Leo, tutazungumzia jinsi ya kuanzisha mawasiliano ya kwanza na msichana. Ni muhimu sana kwa kila ...
Read More
Je, ni muhimu kwa washiriki wote kufikia kilele wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Wakati wa...
Read More
Vidokezo vya Kuwa na Msichana Mzuri wa Kuwa Naye
Kila mwanaume anapenda kuwa na msichana m...
Read More
Je, kuna tofauti za kitabia katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna! Ili kufurahi na kufikia kil...
Read More
Ubakaji kamwe siyo kosa linalomhusu yeye aliyebakwa; ni kosa
linalomuhusu yeye aliyebaka. Un...
Read More
Je, kuna umuhimu wa kujifunza kuhusu anatomi ya mwili wakati wa ngono/kufanya mapenzi? Ndiyo! Kwa...
Read More
Kama unatafuta njia za kufurahisha msichana na shughuli za kujenga timu, basi umefika mahali pazu...
Read More
Jambo la muhimu ni kuwasiliana kwa karibu i ili kuelewa mawazo na matatizo ya rafiki yako. Hakiki...
Read More
Je, mimba hupatikanaje?
Ukitaka kuelewa jinsi mimba i inavyopatikana, lazima uelewe mzung...
Read More
Njia pekee ya kujitambua kama umepata maambukizo ya
VVU ni kufanya kipimo cha damu (HIV-test...
Read More
Habari rafiki yangu! Leo tutaongea kuhusu umuhimu wa kuzungumza waziwazi juu ya ngono na kufanya ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!