Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e6d9fb0234ae0fdef54d44f211f043b1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Katika tendo la kujamiiana kati ya mwanaume na mwanamke, yupi anayepata starehe zaidi?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Siyo rahisi kusema ni nani anayestarehe zaidi ya mwenziwe, kwa sababu starehe inayotokana na mwanamke na mwanaume kufanya mapenzi inategemea na watu wote wawili wanaoshiriki katika tendo hili.
La msingi katika kujamii ana ni kwa mwanaume kumstarehesha mwanamke kadiri ya uwezo wake na kwa mwanamke kumstarehesha mwanaume kadiri i i inavyowezekana. Kama wote wawili wanajitahidi kuburudishana, wote wawili watapata raha sana.
Zamani, wanaume wengi walifikiri kwamba mwanamke ndiyo pekee mwenye wajibu wa kumstarehesha mwanaume, na kilichotokea mara nyingi ni kwamba mwanamke hakupata starehe wakati wa kujamii ana. Mawazo kama haya ni potofu na yamepitwa na wakati kwa sababu wanaume wameanza kuona kwamba kujamii ana kuna starehesha zaidi kwa wote wawili kama wote wawili wanajitahidi kuburudishana.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e6d9fb0234ae0fdef54d44f211f043b1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Kuwashirikisha wasichana katika malengo ya pamoja ni jambo muhimu sana katika jamii yetu. Wasicha...
Read More
Ni kweli kwamba kuna sehemu za mwili ambazo zikiguswa huleta msisimko mwilini.
Kisimi (au k...
Read More
Ili mwanamke aweze kushika mimba, i inabidi yai lililopevuka likutane na mbegu za kiume. Yai pevu...
Read More
Kupata msichana ambaye anashiriki malengo yako na ana maslahi sawa nawe ni muhimu sana kwa mafani...
Read More
Jinsi ya Kuepuka Kujihusisha na Ngono Kwa Shinikizo la Wenzako
Habari kijana! Leo tunajadi...
Read More
Jinsi ya Kujifunza Kutambua na Kuheshimu Makubaliano ya Kufanya Ngono 🌝
Karibu vijana w...
Read More
-
Kujadili mipango ya uzazi na ngono/kufanya mapenzi kuna umuhimu mkubwa sana katika kuha...
Read More
Je, Ni Vipi naweza Kukabiliana na Hisia za Kutokuwa Tayari kwa Ngono? 😊
-
Kwanz...
Read More
Hakuna kipimo rahisi cha kuwezesha kuonyesha kama mama
mjamzito amebeba kinasaba cha ualbino...
Read More
Njia za Kujenga Uvumilivu na Msichana katika Changamoto za Maisha
Hakuna ubishi kwamba mai...
Read More
Leo hii, tutaongelea juu ya swali linalohusiana na ngono - Je, watu wanapenda ngono/kufanya mapen...
Read More
Kwa wanaume wengi, kazi na majukumu ya kila siku yanaweza kupunguza muda wa ubunifu na msichana w...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!