Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c8b8c2d7281ed18d87ecdb6f7c2d9abb, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Dunia haijali mazuri yako ila ubaya wako, jiamini songa mbele
Date: October 10, 2017
Author: SW - Melkisedeck Shine
Siku moja mwalimu wa shule aliandika ubaoni kama ifuatavyo:
9Γ1=7
9Γ2=18
9Γ3=27
9Γ4=36
9Γ5=45
9Γ6=54
9Γ7=63
9Γ8=72
9Γ9=81
9Γ10=90
Alipo maliza kuandika tu, akaona wanafunzi wote walikua wanamcheka, kwasababu alikua amekosea swali la kwanza.
Mwalimu aliwatazama wanafunzi, kisha akawaambia yafuatayo:
`"Nimejikosesha lile swali la kwanza makusudi, kwasababu nilihitaji mjifunze kitu kimoja muhimu sana. Mnapaswa kujua namna ambavyo dunia inaweza kuwachukulia. Unaona hapo, nimeandika kwa usahihi mswali tisa (9), lakini hakuna kati yenu aliyenipongeza kwa hilo; wote mmecheka na kunilaumu kwasababu ya kosa moja tu nililofanya."`
Hivyo, hili ni somo kwenu:
`"Dunia haijali mazuri unayofanya hata ukiyafanya mara milioni, lakini fanya baya moja uone jinsi watakavyo kulaumu..."`
"`Hata hivyo usikatetamaa, MARA ZOTE SIMAMA IMARA NA USHINDE VIKWAZO VYOTE." `
JIAMINI
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c8b8c2d7281ed18d87ecdb6f7c2d9abb, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Kazi au shughuli unayoifanya ina thamani gani kwa wengine?unawasaidia au unawaumiza??
Biasha...
Read More
KWAHERI MWAKA JANA. UMENIFUNZA MENGI.
Mwaka umefika mwisho, zimebaki siku tatu tu
kuin...
Read More
Tafuta fursa kila kona.
Tumia kipaji chako.
Kuwa na nidhamu katika fed...
Read More
MALIGHAFI ZINAZO HITAJIKA WAKATI WA UTENGENEZAJI WA MISHUMAA.
1. Paraffin Wax
2. Uta...
Read More
Jifunze kanuni za fedha
kama ilivyoainishwa hapo chini.
Fedha inataki...
Read More
Ukimonyesha mtu fursa akakwambiaΒ hana helaΒ mwambie hiyo ndio sababu ...
Read More
KILA mtu duniani ana ndoto ingawa haijalishi ni ndoto gani uliyonayo.
Nd...
Read More
Hakuna mtu duniani ambaye hajawahi kukutana na hali ya kukataliwa. Yaani kukataliwa katika hali y...
Read More
Kuna watu wengi sana huwa wanani-challenge ninaposema kwamba ni muhimu sana mtu kuishi katika kus...
Read More
Katika maisha, umasikini siyo sababu ya mtu kuwa mchafu au kutokuwa na usaf...
Read More
Kila mtu ambaye ni hai amepewa muda Wa masaa 24 kila siku,168 kwa wiki,672 kwa mwezi,8064 kwa mie...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!