Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_471f0726066909952e36b27acd592a73, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Jinsi ya kupika Mkate
Date: December 18, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mahitaji
Unga wa ngano ( self risen flour) kikombe 1 na 1/2
Hamira (yeast) 1 kijiko cha chai
Sukari (sugar) 1 kijiko cha chakula
Chumvi (salt) 1/2 kijiko cha chai
Siagi iliyoyeyushwa (melted butter) 1 kijiko cha chakula
Maji ya uvuguvugu ( warm water) kiasi
Matayarisho
Changanya vitu vyote katika bakuli kubwa kisha aanza kukanda mpaka upate donge laini.Baada ya hapo liweke hilo donge kwenye bakuli la plastic na weke katika sehemu yenye joto ili unga uumuke. Hakikisha unga unaumuka zaidi (yani unaji double size) unaweza kuchukua kama saa 1 na nusu hivi. Baada ya hapo ukande tena na uache uumuke tena kwa mara ya pili, Ukisha umuka pakaza butter katika baking tin (chombo cha kuokea) na upakaze mkate butter kwa juu,kisha uoke katika oven kwa muda wa dakika 30 (katika moto wa 200C) (hakikisha juu na chini unakuwa wa brown Na hapo mkate wako utakuwa tayari
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5b02711b25a8460ac9e345cbffe3f8bf, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Kilishe mayai yote ni sawa. Virutubishi vinavyopatikana kwenye yai la kuku wa kienyeji kama proti...
Read More
Wali wa hoho ni chakula maalum kinachotumika katika hafla au sherehe. Ni chakula chenye ladha nzu...
Read More
MAHITAJI
Mayai 5
Sukari 450gm (1 lb)
Unga wa Ngano 1 kg
Siagi 450gm (...
Read More
Viamba upishi
Mashonanguo mkono 1
Tui la nazi kikombe 1
Karanga zilizosagwa kik...
Read More
MAHITAJI
1 kilo unga wa ngano
240 ml maji ya vugu vugu
2 olive oil kijiko kikub...
Read More
VIPIMO VYA WALI
Mchele wa hudhurungi (brown rice)
na (wild rice kidogo ukipenda)Osh...
Read More
Mahitaji
Mchele wa biriani - 5 gilasi
Nyama ya ngombe ya mifupa - 1 ½ kilo na nusu...
Read More
Mahitaji
Nyama - 2 Ratili (LB)
Chumvi - kiasi
Mafuta - 1 Kikombe
Samli ...
Read More
MAHITAJI
Unga vikombe vikombe 4
Baking soda 1 kijiko cha chai mfuto
Siagi 400...
Read More
VIPIMO
Mchele - 3 Vikombe
Mchicha
Mafuta - 1/2 kikombe
Vitunguu maji - ...
Read More
Mapishi yetu leo ni kisamvu cha kuchanganya na karanga. Karibu.
Mahitaji
Majani ya ...
Read More
Sanaa ya Upishi Imara: Kupata Lishe Muhimu
Jambo hilo kuu kwa afya njema na maisha bora ni...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!